Nyingine mpya ya Rais aliyekiri kuwaua watumiaji dawa za kulevya kwa mikono yake

Ikiwa ni wiki chache zimepita baada ya Rais Rodrigo Dutetre wa Ufilipino kukiri hadharani kuwaua kwa kuwapiga risasi watu waliokuwa wanatumia dawa za kulevya nchini humo, nyingine iliyonifikia leo ni hli ya kuwatishia watumishi wote watakaobainika kujihusisha na rushwa kuwa atawarusha kutoka kwenye helikopta.
Rais Duterte amedai hii haitakuwa mara yake ya kwanza kufanya hivi kwahiyo watu wasidhani hamaanishi anachokiongea. Hili tamko lingine kutoka kwa raisi Dutetre wa Ufilipino kwa wala rushwa nchini kwake.
Share on Google Plus

About data tz

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment