Diamond akabidhiwa bendera ya taifa kuliwakilisha taifa AFCON 2017 nchini Gabon
Waziri
wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Moses Nnauye
(kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa Mwanamuziki wa bongo fleva Nasib
Abdul maarufu kama Diamond Platinumz kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha
Tanzania kwenye Ufunguzi wa Mashindano ya AFCON 2017 yanayotarajiwa
kufanyika nchini Gabon.
0 comments:
Post a Comment